Hosting Bei Nafuu
kwa Tanzania.
Anza website yako leo. Server ya Dar es Salaam, lipa kwa M-Pesa, SSL bure, na msaada 24/7 kwa Kiswahili. Kuanzia Tsh. 55,000/mwaka.
Imejengwa mahususi kwa Tanzania.
Server Dar es Salaam
Website yako inapakiwa haraka kwa sababu server iko Tanzania — karibu na wateja wako.
Lipa kwa M-Pesa
Hakuna haja ya kadi ya benki ya kigeni. Lipa kwa M-Pesa, Airtel Money, au Selcom.
Msaada kwa Kiswahili
Timu yetu inazungumza Kiswahili na Kiingereza — 24/7 kwa simu, WhatsApp, na email.
SSL Bure
Kila website inapata cheti cha SSL bure. Wageni wako wataona kufuli kwenye browser.
WordPress kwa Kubonyeza Mara Moja
Sakinisha WordPress, WooCommerce, au programu nyingine 150+ kwa kubonyeza mara moja.
TZNIC — Msajili Rasmi
Tunasajili domain .co.tz, .or.tz, .ac.tz moja kwa moja. Sisi ni msajili rasmi wa TZNIC.
Chagua mpango wako.
Bei zote ni kwa Shilingi ya Tanzania. Badilisha wakati wowote.
- Website 1
- 2 GB NVMe SSD
- Database 25
- Email 30
- SSL Bure
- Domain .co.tz Bure
- CDN Bure
- Backup Kila Siku
- cPanel
- Website Zisizo na Kikomo
- 5 GB NVMe SSD
- Database Zisizo na Kikomo
- Email Zisizo na Kikomo
- SSL Bure
- Domain .co.tz Bure
- CDN + IP
- Backup Kila Siku
- Msaada wa Kipaumbele
Maswali yanayoulizwa mara kwa mara.
Hosting ni nini?
Hosting ni huduma ya kuhifadhi faili za website yako kwenye server ili watu waweze kuiona mtandaoni. Bila hosting, website yako haina mahali pa kuishi.
Naweza kulipa kwa M-Pesa?
Ndiyo! Sakurahost inakubali M-Pesa, Airtel Money, Selcom, Mixx by YAS, na kadi za CRDB. Bei zote ni kwa Shilingi ya Tanzania.
Domain .co.tz inagharimu kiasi gani?
Domain .co.tz inagharimu kuanzia Tsh. 19,500 kwa mwaka. Mpango wa Sungura na Faru unajumuisha domain .co.tz bure kwa mwaka wa kwanza.
Naweza kusakinisha WordPress?
Ndiyo. Mipango yote inajumuisha usakinishaji wa WordPress kwa kubonyeza mara moja kupitia Softaculous, pamoja na programu nyingine 150+.
Kama sijaridhi na huduma, naweza kurudishiwa pesa?
Ndiyo. Tunatoa dhamana ya kurudisha pesa siku hiyo hiyo kwa mipango yote ya hosting. Pesa yako yote inarudishwa, bila maswali.
SSL ni nini na kwa nini ninahitaji?
SSL ni teknolojia inayolinda mawasiliano kati ya website yako na wageni wako. Inaonyesha kufuli kwenye browser. SSL bure inajumuishwa na kila mpango wa hosting.
Anza leo — lipa kwa M-Pesa.
Jiunge na biashara 900+ za Tanzania zinazohostiwa na Sakurahost.